iqna

IQNA

Sura za Qur'ani Tukufu /66
TEHRAN (IQNA)- Mwanadamu amezungukwa na dhambi nyingi zinazomweka mbali na Mwenyezi Mungu na zinazomzuia kuwa na hali ya kiroho. Hilo hupelekea mwanadamu kuchanganyikiwa na kupoteza kusudi la kweli la maisha. Njia pekee ya kutoka katika hali hii na kufikia wokovu ni kurejea kwa Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3476689    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/11